Friday 18 August 2017

RAISI WA TAMUFO AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA WAZIRI HARRISON MWAKYEMBE

Raisi wa Tanzania Music Foundation alipopata nafasi ya kuongea machache pamoja na wadau wenzake wa muziki wa Injili katika mkutano mkubwa wa Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe hapo majuzi siku ya alhamis tar 10/08/2017.
Dkt. Donald Kisanga (Raisi - Tamufo)

No comments:

Post a Comment