Friday 18 August 2017

KATIBU WA TAMUFO BI. STELLA JOEL AKIWA NA BAHATI BUKUKU

Katibu wa Tanzania Music Foundation Bi. Stella Joel akiwa na mwanamziki nguli wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku, kwa pamoja walihudhuria katika mkutano mkubwa wa Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe hivi majuzi siku ya alhamisi tarehe kumi ya mwezi wa nane, Waziri alijadiliana kwa ukaribu na wadau wa muziki wa Injili jinsi ya kutatua kero zinazo wakabili na kuahidi kuzimaliza.
Bi. Stella Joel - Katibu wa TAMUFO ( Mwenye Nguo Nyekundu) akiwa na Bahati Bukuku ( Aliyevaa Miwani)

No comments:

Post a Comment