Sunday 27 August 2017

MIONGONI MWA WASANII WATAKAOHUDHURIA MKUTANO WA NAIBU SPIKA WA BUNGE NI HAWA

Hawa ni kati ya wasanii ambao wamesema wanamuunga mkono naibu spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson na watahudhuria katika mkutano mkubwa wa wasanii ambao utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 02 Agosti, 2017 katika ukumbi wa NSSF kuanzia saa mbili asubuhi na kuendelea.
Mh. Martha Mlata - Mbunge
Mzee Makasy
Rose Muhando
Dkt.Donald kisanga - Raisi TAMUFO
Stella Joel Msanii na Katibu wa TAMUFO
Masanja mkandamizaji
Emmanuel Mbasha
Edson Mwasabwite
Goodluck Gozbert
Christina Shusho
Upendo Nkone
Martha Mwaipaja
Madam Ruti
Jane Misso
Magreth Sembuche
Ani Annie
Tumaini Njole
Mess Chengula na wengine wengi

No comments:

Post a Comment