Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), leo tar 21/08/2017 linakukaribisha wewe mtanzania katika jukwa la sanaa litakalofanyika kuanzia saa 4 mpaka saa 7 mchana katika viwanja vya Basata. Mada kuu ya jukwa hilo ni Umuhimu wa wasanii kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii, watoa mada ni PSPF, kwa maelezo zaidi waweza piga namba hii +255 715 973 952. Wadau wote mnakaribishwa na Hakuna kiingilio
No comments:
Post a Comment